Sheria za kashfa zikitumika kwa usahihi, zinatarajiwa kulinda watu binafsi na watu maalumu dhidi ya taarifa za uongo zinazoweza kuharibu sifa yao. Ingawaje, sheria za madai na za jinai za kashfa zikitumika vibaya zinaweza kuzuia mijadala ya wazi ya umma.
Mwongozo huu unalenga kuwapatia waandishi wa habari uelewa kwa vitendo kuhusu sheria za kashfa/kuharibu sifa ya mtu pamoja na hatua wanazoweza kuchukua ili kupunguza uwezekano wa kuwajibika kisheria kulingana na sheria hizo nchini Tanzania. Uelewa huu utawawezesha waandishi wa habari kufahamu haki na wajibu wao wa kisheria na kuwawezesha kuendelea kutoa taarifa za masuala yenye umuhimu kwa masilahi ya umma. Mwongozo huu unajumuisha mawanda ya sheria za kashfa, mwenendo wa mashauri ya jinai na madai mahakamani, utetezi dhidi ya madai ya kashfa, adhabu zinazotolewa dhidi ya kashfa na hatua za tahadhari zinazoweza kuchukuliwa ili kupunguza hatari ya kuwajibika kisheria. Mwongozo huu umeandaliwa na Thomson Reuters Foundation pamoja na iWatch Africa, kutumia utafiti wa kisheria wa bila malipo (pro bono) uliotolewa na Ideal Law Group.
Related resources
View all
Rising Pressure, Rising Needs: A TRF Insights Survey
Our new report profiles the rapidly evolving legal needs…
Read More
Artificial Media, Real Rights: The Impact of Gen AI on Freedom of Expression in Eastern and Southern Africa
The increased use of Generative Artificial Intelligence (GenAI) tools has introduced both…
Read More
Navigating the Just Transition: Context, Conflicts and Company Practice
This report explores how…
Read More
Illicit Financial Flows in Kenya, Ghana, and Tanzania: Understanding the Law and Opportunities for Reform
This report examines the legal and institutional frameworks in Kenya, Ghana, and Tanzania…
Read More
Barriers to Young People’s Access to Healthcare
The report surveys the legal barriers that adolescents…
Read More
Measuring Pro Bono Impact- Spanish
Bienvenidos a la “Guía para medir el impacto del trabajo pro bono”, presentada por…
Read More
Legal analysis of laws, policies and government strategies relating to AI in Kenya, Mauritius, Rwanda, South Sudan, Tanzania, Uganda and Zambia
This report analyses the legal and policy frameworks governing AI across seven countries to explore how these laws and…
Read More
Data frameworks for Responsible AI: legal perspectives from six jurisdictions
With AI…
Read More
Uelewa wa sheria kuhusu vyanzo vya uandishi wa habari nchini Tanzania
Mwongozo huu unalenga kuwapa…
Read More
A Guide to Criminal Defamation in Southeast Asia
The Guide to Criminal Defamation in Southeast Asia” provides…
Read More