Mwongozo huu unalenga kuwapa waandishi wa habari uelewa kwa vitendo kuhusu mifumo ya kisheria inayohusu vyanzo vya habari nchini Tanzania. Uelewa huu utawawezesha waandishi wa habari kufahamu haki na wajibu wao wa kisheria na kuendelea kuripoti masuala yenye maslahi makubwa kwa umma. Mwongozo huu unachambua utambuzi wa vyanzo vya habari katika sheria, ulinzi wa vyanzo hivyo pamoja na masharti yanayohusu upekuzi na ukamataji wa vifaa na taarifa za waandishi wa habari. Mwongozo huu umeandaliwa na Thomson Reuters Foundation pamoja na iWatch Africa, kutumia utafiti wa kisheria wa bila malipo (pro bono) uliotolewa na LawCITE Group.
Related resources
View allUelewa kuhusu sheria za vitendo vya kashfa Tanzania
Sheria za kashfa zikitumika kwa usahihi, zinatarajiwa…
Read MoreA Guide to Criminal Defamation in Southeast Asia
The Guide to Criminal Defamation in Southeast Asia” provides…
Read MoreStrengthening Anti-Money Laundering Systems Against Environmental Crime: Comparative Legal and Policy Frameworks in Amazonian Countries
This research examines the anti-money laundering laws and regulatory frameworks of six Amazon Basin countries in…
Read MoreUnderstanding the Laws on Journalistic sources in Tanzania
This Guide provides journalists with a practical…
Read MoreUnderstanding the Laws on Journalistic Sources in Ghana
This Guide provides journalists with a practical…
Read MoreUnderstanding Defamation Laws in Tanzania
This Guide provides journalists with a practical understanding of defamation…
Read MoreUnderstanding Defamation Laws in Ghana
This Guide provides journalists with a practical understanding of defamation laws…
Read MoreBefore you publish: A journalist’s guide to safer reporting
This guide provides journalists with a…
Read MoreLGBTQIA+ Community Legal Guidebook in the Philippines
This Guidebook is designed to be a practical tool,…
Read MorePro Bono Advocacy Toolkit
Download our ready-made presentation deck for your business meetings, showcasing the key decisions your…
Read More